Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mamalishe wahitimu masomo yao K.I.T.M

Friday , 2nd Feb , 2024

Huwenda kila mtu anajua kupika, ila linapokuja suala la kiwango gani na unampikia nani? ndipo tui na machicha yanapojitenga.

 

Tanzania ilifurahi pale EastAfricaRadio ilipokuja na kampeni ya #MamaLishe ilipochukua jukumu la kuthamini kile wanachokifanya, zilikuwa ni wiki za mafuta kuchemka, jasho kutiririka na nafsi kujawa na woga kwani ilitakiwa wapatikane wachache kati ya wengi waliyojitokeza.

Tukasimama kwenye #KijasiriZaidi tukaonyesha ni namna gani #TogetherTunawakilisha wadau na wahafidhina wafia mapishi walikuwa nasi kwenye kuwapongeza na kuwatia moyo #MamaLishe 

Tumaini jipya likazaliwa kwa #MamaLishe waliopata wasaa wa kurudi darasani, ishukuriwe @kitm_dsm mapishi yalisomwa kwa kiwango cha juu. utofauti na mabadiliko kwenye mapishi ukaonekana ndani yao.

Rasmi leo wamehitimu na kuhesabiwa rasmi kama wataalamu kwenye suala la mapishi, Msimu wa nne siyo ukomo kwenye #MamaLishe kwani #MamaMia iko kumshika mkono kila mwanamke anayeonyesha juhudi kwenye jamii yake.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu