Mbunge aliyesahau jina lake kwenye kampeni

Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Ruvuma Jackline Ngonyani Msongozi

Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Ruvuma Jackline Ngonyani Msongozi, ameelezea hali aliyokuwa nayo kipindi anazunguka kuomba kura ya kuchaguliwa kuwa mbunge amesema kuwa kuna wakati alisahau hata jina lake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS