Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Ruvuma Jackline Ngonyani Msongozi
Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Ruvuma Jackline Ngonyani Msongozi, ameelezea hali aliyokuwa nayo kipindi anazunguka kuomba kura ya kuchaguliwa kuwa mbunge amesema kuwa kuna wakati alisahau hata jina lake.