Nataka kushinda medali 6 mwaka 2022- Kipchoge

Mwanariadha Eliud Kipchoge

Mwanariadha kutoka nchini Kenya Eliud Kipchoge ameweka dhamira ya kushinda mbio sita za marathon kwa mwaka 2022 huku akitarajiwa kushiriki kwenye mbio za marathoni za Tokyo nchini Japan mnamo march 6 .

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS