Stars, Tanzanite kuadhimisha miaka 60 ya Uhuru leo

(Baadhi ya wachezaji wa Taifa Stars wakiwa mazoezini kabla ya mchezo)

Taifa Stars inataraji kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya taifa ya Uganda ‘The Crane’ saa 1:30 usiku wa leo Disemba 9, 2021 kwenye dimba la Mkapa kwa lengo la wanamichezo kuadhimisha miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania bara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS