Stars, Tanzanite kuadhimisha miaka 60 ya Uhuru leo
Taifa Stars inataraji kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya taifa ya Uganda ‘The Crane’ saa 1:30 usiku wa leo Disemba 9, 2021 kwenye dimba la Mkapa kwa lengo la wanamichezo kuadhimisha miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania bara.