(Abdihamid Moalin akiwa na CEO wa Azam FC, Abdulkarim Amin 'Popat')
Aliyekuwa kuwa Kocha msaidizi wa Columbus Crew, Abdihamid Moalin ameingia mkataba wa miaka miwili na Azam FC kuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa Kituo cha Kukuza Vipaji maarufu kama Azam FC Academy.