Mapya yaibuka kuhusu mbunge pekee wa CHADEMA

Kushoto ni Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na kulia ni mbunge pekee wa CHADEMA aliyeshinda Aida Khenani

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema kuwa mbunge pekee wa jimbo la  Nkasi Kaskazini, Aida Khenani, aliyeshinda katika uchaguzi mkuu alikula kiapo cha nafasi hiyo kinyume na msimamo wa chama chake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS