Mfalme wa soka Afrika 2017

Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) kesho linatarajiwa kutoa tuzo za mchezaji bora wa Afrika mwaka 2017. Tuzo hizo zitafanyika jijini Accra nchini Ghana ambapo mchezaji mmoja kati ya watatu waliofika fainali atatangazwa mfalme.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS