Mfalme wa soka Afrika 2017
Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) kesho linatarajiwa kutoa tuzo za mchezaji bora wa Afrika mwaka 2017. Tuzo hizo zitafanyika jijini Accra nchini Ghana ambapo mchezaji mmoja kati ya watatu waliofika fainali atatangazwa mfalme.