East Coast Team haitarudi tena - Mwana FA East Coast Team Msanii wa 'HipHop' Bongo Mwana FA amefunguka na kusema kundi la East Coast Team halitaweza kurudi tena katika mambo ya muziki tofauti na taarifa za awali za kurejea upya kwa kundi hilo. Read more about East Coast Team haitarudi tena - Mwana FA