Magufuli ataigwa duniani kote - Serukamba
Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CCM), Peter Serukamba amefunguka na kusema jambo alilofanya Rais Magufuli kuzuia mchanga litakwenda kuigwa duniani kote na kuleta mapinduzi katika "Extractive Industries" (sekta za uchimbaji madini)

