Waishio Mabondeni Shinyanga watakiwa kuhama.

Baadhi ya wananchi wakijiokoa kutoka katika mafuriko.

Kutokana na Mvua zilizosababisha maafa Mkoani Shinyanga na kusababisha watu 42 Kufariki na 91 kujeruhiwa Mkuu wa mkoa huo amewataka wananchi waishio maeneo ya mabondeni kuhama ili kuepuka madhara kujitokeza kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS