Wagonjwa wa Akili Hosptali ya Mirembe Watoroka

Hospitali ya Rufaa ya wagonjwa wa akili ya Mirembe, mkoani Dodoma.

Wagonjwa wa akili katika Hospitali ya Mirembe iliyoko mkoani Dodoma wametoroka katika wodi zao baada ya kutokea mgomo wa wafanyakazi wa kampuni ya ulinzi ya Mass inayolinda hospitalini hapo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS