Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT- Wazalendo Bw. Zitto Kabwe.

7 Mei . 2015

Askofu wa Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima.

27 Mar . 2015

Mkurugenzi wa Utetezi wa LHRC Bw Harold Sungusia (kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa uwezeshaji Bi. Emelda Urio (katikati).

19 Mar . 2015

Waziri wa Katiba na Sheria nchini Tanzania, Dkt Asha-Rose Migiro.

16 Mar . 2015

Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro.

12 Feb . 2015

Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Afya ya Uzazi na Malezi nchini Tanzania - UMATI, Bi. Lulu Ng'wanakilala.

30 Oct . 2014

Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma - CHAUMMA Bw. Hashim Rungwe Spunda (kulia) akiwa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Bw. Ali Omar Juma (mwenye shati jeupe) wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Kamati Kuu ya chama hicho jijini Dar es Salaam leo.

25 Oct . 2014

Mwenyekiti wa Muungano wa asasi za kiraia katika masuala ya jinsia na Katiba nchini Tanzania Bi. Victoria Mandari.

17 Oct . 2014

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad.

13 Oct . 2014

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Ally Mohammed Shein, wakifungua katiba inayopendekezwa.

9 Oct . 2014

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Ally Mohammed Shein, wakifungua katiba inayopendekezwa.

9 Oct . 2014