Mshambuliaji Mtanzania Mbwana Samatta[jezi ya Bluu] akiwajibika katika klabu yake ya Genk ya Ubelgiji.

5 Jul . 2016

Moja ya hekaheka katika lango la Ubelgiji wakati wakishambuliawa na Wales.

2 Jul . 2016

Zlatan Ibrahimovic akiruka hewani kujaribu kufunga dhidi ya Ubelgiji.

23 Jun . 2016

Nahodha wa Stars Mbwana Samatta [kushoto] akiwa na kocha wake Boniface Mkwasa.

3 Jun . 2016

Mshambuliji Mbwana Samatta akiwajibika katika mchezo dhidi ya Sporting Charleroi.

28 Mei . 2016

Kikosi cha timu ya soka yaTaifa ya Tanzania [Taifa Stars].

26 Mei . 2016

Mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta akiwajibika uko nchini Ubelgiji.

20 Mei . 2016

Mbwana Samatta wa Genk akimtoka beki wa Zulte Waregem.

7 Mei . 2016

Winga wa kimataifa wa Tanzania, Farid Mussa akiwa mazoezini katika viwanja vya klabu ya Deportivo Tenerife.

1 Mei . 2016

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta akitambulishwa na viongozi wa Genk hapo jana.

30 Jan . 2016