Chama: 
UDP
Mgombea Mwenza (Makamu wa Rais): 
Juma Khamis Faki
Idadi Ya kura: 
0

Ana umri wa miaka 46

Saum Hussein Rashid ni mmoja wa wagombea wanawake watatu wanaowania Urais kwenye  uchaguzi huu.

Ni Katibu Mkuu wa chama cha UDP

Amekuwa mstari wa mbele katika masuala ya haki za wanawake na usawa wa kijinsia.