Chama: 
CUF
Mgombea Mwenza (Makamu wa Rais): 
Husna Mohamed Abdalla
Idadi Ya kura: 
0

Gombo Samandito Gombo ni mwanasiasa mwenye uzoefu katika siasa za Zanzibar na Bara.

Amewahi kushiriki katika harakati za kijamii ndani ya chama cha CUF akitetea haki za wanyonge.

Amewahi kuwa mtumishi wa umma

Alikuwa Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mbinga

Alikuwa kiongozi wa kampuni ya upimaji ardhi inaitwa Ardhi Plan limited

Anagombea Urais kwa mara ya kwanza.