Abdul Juma Mluya ni mwanasiasa mkongwe katika harakati za kidemokrasia.
Alianza safari yake 1986 akiwa UVCCM akiwa na miaka 12 tu
Baadae akahamia chama cha Wananchi CUF
Kwasasa ndiye Mwenyekiti wa wa chama cha DP
Chama chake kimekuwa kikisisitiza uwajibikaji wa serikali na haki sawa kwa wananchi.



















