Chama: 
NRA
Mgombea Mwenza (Makamu wa Rais): 
Hamisi Ally Hassan
Idadi Ya kura: 
0

Hassan Kisabya Almas ni mwenyekiti wa bodi shule ya kingereza Bunge Pre & primary

Katibu Mkuu wa chama cha NRA

Mwanachama kamati ya bajeti ya vyama vya siasa.

2015 aliwahi kuwania nafasi ya SPIKA wa Bunge kama kijana kutoka NRA

Ana shahada ya utawala aliyoipata chuo kikuu cha Zanzibar 2007

Ana uzoefu wa kufanya kazi kwenye NGO’s