Chama: 
MAKINI
Mgombea Mwenza (Makamu wa Rais): 
Aziza Haji Suleiman
Idadi Ya kura: 
0

Coaster Jimmy Kibonde amezaliwa Julai Mosi 1978 kwenye hospitali ya Meta jijini Mbeya

Mtoto wa Mama Hilda Mwanyasi Mwakajumba na Baba Jimmy Kibonde Mwakalobo ambaye kwa sasa ni Marehemu

Amewahi kuwa dereva bodaboda

Ndiye Mwenyekiti wa Chama Cha Makini

Alianza siasa akiwa kijana wa umri wa miaka 17 tu.

Mwaka 1995 alijiunga na Chama cha NCCR Mageuzi Mbeya kabla ya kuhamia chama cha MAKINI

Aliwahi kuwa mwenezi wa chama cha MAKINI

Pia aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa chama cha MAKINI

Kibonde amesaidia kubadilisha jina la chama cha MAKINI ambacho zamani kilikuwa kinajulikana kwa jina la Demokrasia MAKINI