Chama: 
SAU
Mgombea Mwenza (Makamu wa Rais): 
Satia Mussa Bebwa
Idadi Ya kura: 
0

Majalio Paul Kyara mzaliwa wa Mei 10,1980 hospitali ya Taifa ya Muhimbili

Amesoma masuala ya utalii chuo kikuu cha Magogoni

Ana stashahada ya uongozi wa hoteli aliyoipata chuo cha Masoka Kilimanjaro na kutunukiwa tuzo ya mwanafunzi bora

Ni mfanyabiashara anayemiliki MK Pharmacies,  Legho Hotel na Biashara ya kilimo cha Mahindi Dodoma.

Alijiunga vijana CHADEMA mwaka 1999

Mwaka 2005 alijiunga na SAU baada ya kushindwa uchaguzi wa ndani ya CHADEMA

Mwenyekiti kanda ya Pwani SAU

Mume wa Matilda na WAMEJALIWA watoto sita wanne ndo wapo hai.