Chama: 
UPDP
Mgombea Mwenza (Makamu wa Rais): 
Abdalla Mohamed Khamisi
Idadi Ya kura: 
0

Ana umri wa miaka 63

Ni mtoto wa mwisho kwenye familia ya watoto sita

Alizaliwa Kingongo, Kilwa mkoa wa Lindi

Alipomaliza elimu yake ya Sekondari alifanya kazi kwenye viwanda vya nguo

 Alianza siasa kwenye umoja wa vijana wa CCM

Baadae akajiunga NCCR Mageuzi na akawa mwenyekiti wa NCCR wilaya ya Ubungo

Baadae akajiunga TLP

2009 alijiunga na UPDP na alikuwa meneja wa kampeni wa chama hicho uchaguzi wa 2010 na 2015

2020 aliwania Uraisi kwa tiketi ya UPDP

Hii ni mara yake ya pili kuwania Urais wa Tanzania