Chama: 
NCCR MAGEUZI
Mgombea Mwenza (Makamu wa Rais): 
Eveline Wilbard Munisi
Idadi Ya kura: 
0

Haji Ambar Khamis amezaliwa 1960 Pemba ya Kusini

Ana taaluma ya uhandisi

1995 alijiunga ADA TADEA

Na mwishoni mwaka huohuo 1995 alijiunga rasmi na NCCR Mageuzi

1999 akawa mwanachama wa bodi ya wadhamini NCCR

2000-2024 alikuwa makamu mwenyekiti wa NCCR

Kuanzia mwaka 2022 amekaimu nafasi ya mwenyekiti Taifa wa chama hicho