Wakizungumzia kuondoka kwao baadhi ya watu mashuhuri wakiwemo viongozi wa dini wamesema wanatumaini jipya katika mwendelezo wa shughuli pindi watakapo fika kijiji cha Msomera
Akiliaga kundi hilo Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro Raymond Mangwala amesema kutokana na hamasa ya kuondoa kwa hiari imewalazimu kuanza kufikiria utaratibu mwingine ili waendane na kasi hiyo ikiwemo kuongeza waandikishaji na kasi ya ujenzi wa nyumba zaidi Msomera