
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa
Kauli hiyo ameitoa hii leo Septemba 4, 2021, wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma pamoja na kupokea na kujibu maswali ya wananchi waliokuwa wakipiga simu.
"Serikali imefanya malipo ya awali ya ya shilingi bilioni 212.95 kwa ajili ya Ndege 5, Ndege kubwa 2, za masafa ya kati 2 na Bombadier ndogo 1, pia serikali imefanya malipo ya bilioni 50 kwenye mradi wa reli na bilioni 50 kwenye mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere," amesema Msigwa.
Tazama video hapa chini