Kulia ni msanii Juma Jux kushoto ni Producer Abbah
Taarifa hiyo ameitoa Abbah Process, producer wa ngoma hiyo ya naogopa wakati anapiga story na Big Chawa kupitia Planet Bongo ya East Africa Radio.
"Hii beat ya Naogopa mara ya kwanza nilifanya na Jux, baada ya kuitengeneza Jux alikuwa hana 'Mood' kwa sababu alikuwa amechoka, kila tukipanga tufanye kinatokea hichi mara kile labda 'Feeling' zake hazikuwa zime-click kwenye huu mziki pengine" amesema Producer Abbah Process