
Picha ya msanii Barnaba
Barnaba Classic amesema aliupenda wimbo wa dodo ndio maana kuna baadhi ya vionjo vya wimbo huo kwenye kazi yake mpya ila cha msingi watu wa-enjoy muziki mzuri na mirindimo hiyo isiwachanganye.
"Mirindimo ya Cheketua wanasema imefanana na Dodo ya Alikiba lakini tulicho-deliver ni kitu kizuri na watu wanapenda, sawa na sukari inabadilika tu majina lakini utamu ni ule ule, kwa hiyo mirindimo ya ngoma isiwachanganye" ameeleza Barnaba