
Katika vipengele mbalimbali vilivyotangazwa, mwanadada Lady Jay Dee ameweza kuongoza kwa kutokea katika vipengele 5 ambapo pia kwenye moja ya kipengele anatajwa kuwania tuzo hizo mara mbili.
Mwanadada huyu anafuatiwa kwa karibu na mwanamuziki Diamond Platinumz ambaye anawania tuzo hizo katika vipengele vitano, akifuatiwa na Ommy Dimpoz, Cassim na Ben Pol, G Nako Fid Q na msanii Young Killer ambao wote wanafungana kwa kutokea katika vipengele vitatu.
Majina ya wasanii wanaowania tuzo hizo maarufu za muziki nchini Tanzania yametangazwa na Mratibu wa tuzo hizo kutoka BASATA Kurwijira Maregesi, katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.
Katika mkutano huo, Nyimbo ya Uzuri Wako ya Jux, Tema Mate Tuwachape ya Madee na Nimevurugwa ya Snura, ni miongoni mwa nyimbo zilizoondolewa katika mchakato wa kushindania tuzo kwa sababu za kimaadili na maudhui.
Tuzo hizi zitatolewa rasmi tarehe 3 mwezi Mei mwaka huu zikitanguliwa na zoezi la kupigiwa kura kwa washiriki ili kupata washindi, zoezi ambalo litaanza rasmi tarehe 1 mpaka 31 mwezi April.
Unaweza kuona nominations zote hapa;
Kilimanjaro Lager @Kili_Lager now
Mwimbaji Bora wa Kike - Bendi
Luiza Mbutu
Catherine Cindy
Ciana
Mtunzi Bora Taarab
Mzee Yusuf
El-Ahad Omary
El-Khatib Rajab
Kapten Temba
Sadiki Abdul
Nassoro Seif
Mwimbaji Bora Kiume - Bendi
Jose Mara
Kalala Junior
Charz Baba
Khalid Chokoraa
Christian Bella
Mwimbaji Bora Kiume - Taarab
Mzee Yusuf Hashimu
Saidi Mohamed
Ali aka Mtoto Pori
Mwimbaji Bora wa Kike - Taaarab
Khadija Kopa Isha Ramadhani
Khadija Yusuph
Mwanahawa Ali
Leyla Rashid
Kikundi cha Mwaka - Taarab
Jahazi Modern Taarab
Mashauzi Classic
Five Stars
Kikundi Cha Mwaka - Kizazi Kipya
Makomandoo
Navy Kenzo
Weusi
Mkubwa na Wanawe
Bendi ya Mwaka:
FM Academia
Mapacha Watatu
Twanga Pepeta
Akudo Impact
Malaika Band
Mashujaa Band
Mtunzi Bora wa Mwaka Band
Christian Bella
Jose Mara
Chaz Baba
Nyosh El Saadat
Kalala Junior
Video Bora ya Mwaka
Number One - Diamond
Yahaya - Lady Jaydee
Joto Hasira - Lady Jaydee
Uswazi Takeaway - Chege
Mama yeyo - GNako
Mtumbuizaji Bora wa Kiume Kizazi Kipya:
Diamond
Christian Bella
Rich Mavoko
Ommy Dimpoz
Abdul Kiba
Mtunzi Bora Hip Hop
Nikki wa Pili
Young Killer
ROMA
Fid Q
G-Nako
Mtunzi Bora wa Mwaka - Kizazi Kipya
Belle 9
Ben Pol
Diamond
Rama Dee
Rich Mavoko
Prodyuza Bora:
Marco Chali
Man Water
Mazoo
Sheddy Clever
Nahreel
Msanii Bora Chipukizi
Young Killer
Walter Chilambo
Y Tony
Snura
Meninah
Msanii Bora Hip Hop:
Fid Q
Stamina
Young Killer
Nick wa Pili
G-Nako
Mwimbaji Bora wa Kiume Kizazi Kipya:
Ben Pol
Rich Mavoko
Diamond Platnumz
Ommy Dimpoz
Cassim Mganga
Mwimbaji Bora wa Kike - Kizazi Kipya
Vanessa Mdee
Lady Jaydee
Linah
Maua Samma
Wimbo Zouk Rhumba
Yahaya - Lady Jaydee
Yamoto - Mkubwa na Wanawe
Msaliti - Christian Bella
Nakuhitaji - Malaika Band
Narudi kazini - Beka
Wimbo R&B
Listen - Belle 9
Closer - Vanessa Mdee
So Crazy - Maua Samma
Kama Huwezi - Rama Dee
Wa Ubani - Ben Pol
Wimbo Hip Hop
Bei ya Mkaa - Weusi
Nje ya Box - Nick wa Pili
Siri ya Mchezo - Fid Q
2030 - ROMA
Pesa - Mr Blue
Wimbo Afro Pop
Number One - Diamond
Joto Hasira - Lady Jaydee
Kidela - Abdul Kiba
I love u - Cassim
Tupogo - Ommy Dimpoz
Roho Yangu - Mavoko
Wimbo wa Band
Ushamba Mzigo - Mashujaa
Shamba la Bibi - Victoria sound
Chuki nini - FM Academia
Yarabi nafsi - Mapacha 3
Kiapo - Talent Band
Wimbo Bora wa mwaka: Number one - Diamond
Joto Hasira - Jaydee
I love u - Cassim
Yahaya - Lady Jaydee
Kidela - Abdul Kiba
Muziki Gani - Nay