
Picha ya msanii Lody Music
Lody Music amesema tayari ameandika nyimbo mbili za Nandy ambazo ni 'Siwezi na Napona' pia Saraphina amemuandikia wimbo wa Super Woman na amekiri kulipwa pesa nzuri na wasanii hao.
Zaidi tazama hapo chini akizungumzia pesa anazolipwa kwenye uandishi wa nyimbo.