Picha ya msanii Country Wizzy
"Nimekaa zaidi ya miaka 10 kwenye mziki, nimejifunza vitu vingi sana hasa kibiashara. Nimesomea miaka mitatu biashara ya mziki namna ya kuingiza pesa kwa kutumia Digital Platform".
"Nimebahatika kuwa rapa ninayeingiza pesa nyingi kila mwisho wa mwezi, ni pesa ambayo pengine wasanii wengine hawaingizi, najiona mkubwa kuuza kazi zangu na kuniingiza kipato kikubwa" ameongeza Country Wizzy