Walimu wasogeza miguu ya wanafunzi ili wafundishe

Sehemu ya majengo ya shule ya msingi Mkapa

Shule ya Msingi Mkapa iliyopo Mpanda mkoani Katavi, inakabiliwa na upungufu wa madarasa na kuelemewa na idadi kubwa ya wanafunzi hali inayopelekea wanafunzi zaidi ya 250 kukaa darasa moja tena chini ili waweze kutosha hali inayopelekea walimu washindwe hata kusogeza miguu yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS