Waziri Jafo atoa siku 14 kwa uongozi wa Kinondoni

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Dkt. Selemani Jafo (kulia) akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Bw. Godwin Gondwe.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Dkt. Selemani Jafo ametoa siku 14 kwa Uongozi kwa Wilaya ya Kinondoni kuhakikisha wanatatua tatizo la mfumo wa majitaka katika Mtaa wa Ufipa, Dar es Salaam. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS