Mchele kutoka Pakistani wateketezwa Zanzibar Magunia ya Mchele yakiteketezwa Jumla ya tani 27 za Mchele aina ya Alfaiz zimeteketezwa na Wakala wa Bodi ya Chakula Dawa na Vipodozi Zanzibar baada ya kuharibika kwa maji wakati wa usafirishaji kutoka nchini Pakistani. Read more about Mchele kutoka Pakistani wateketezwa Zanzibar