Samia Aongoza Utiaji saini wa Mikataba Dubai

Rais Samia akishuhudia zoezi la utiaji Saini wa mikataba mbalimbali Dubai

Leo Februari 27 2022, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameshuhudia zoezi la utiaji saini wa mikataba mbalimbali baina ya Tanzania na wawekezaji, na sekta binafsi na wawekezaji Dubai.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS