Makaburi yabomolewa, baadhi ya viungo vyaibiwa

Moja ya kaburi lililobomolewa

Mkuu wa wilaya ya Magu mkoani Mwanza Salum Kali, amesema bado wanaendelea kuwatafuta waliobomoa na kuiba baadhi ya vitu kama misalaba na baadhi ya viungo vya miili ya watu waliozikwa kwenye makaburi ya wilaya hiyo ili hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS