Yanga yainyuka Coastal bao 2-0 Mkwakwani

Saidi Ntibazonkiza akishangilia baada ya kufunga bao la pili

Klabu ya Yanga imeendelea kujikita kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Coastal Union, na sasa kikosi hicho cha timu ya wananchi kinaongoza Ligi kwa tofauti ya alama 8. Huu ni ushindi wa kwanza kwa Yanga mkoani Tanga baada ya miaka 6.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS