Inter Milan bingwa mpya Italian Super Cup

(Wachezaji wa Inter Milan wakisheherekea Ubingwa wa Italian Super Cup)

Klabu ya Inter Milan imefanikiwa kuwa Mabingwa wa Italian Super Cup kwa mwaka 2022 baada ya usiku wa kuamkia leo kuwafunga wapinzani wao Juventus mabao 2-1 kwenye mchezo wa fainali uliochezwa Guisseppe Di Meazza, Italia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS