Fainali ya UEFA sasa kupigwa jijini Paris
Mkutano wa dharura wa shirikisho la soka ulaya UEFA umefikia maamuzi ya kuuvua uwenyeji wa fainali ya Ligi ya Mabingwa barani ulaya mji wa St Petersburg nchini Urusi kufuatia machafuko ya kivita ya Urusi dhidi ya Ukraine. na sasa mchezo huo utachezwa katika jiji la Paris nchini Ufaransa.

