Jay Z ateketeza Bilioni 14 mkononi mwake

Jay Z akiwa amevaa saa hiyo mkononi mwake

Unaambiwa Jay Z ameishtua dunia baada ya kuonekana na saa mpya ya 'Patek Philippe Tiffany Blue Nautilus 5711' yenye thamani ya Dola Milioni 6.5 sawa na Tsh Bilioni 14.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS