Rekodi zinaibeba Yanga SC, mbele ya Mtibwa Sugar

Yanga ilishinda michezo yote miwili ya msimu uliopita dhidi ya Mtibwa Sugar

Ligi kuu soka Tanzania bara NBC Premier League raundi ya 15 inahitimishwa leo kwa mchezo mmoja, Mtibwa Sugar watakuwa wenyeji wa Yanga SC katika uwanja wa Manungu Complex Turiani mkoani Morogoro. Mchezo huu unachezwa Saa 10:00 Jioni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS