Singo: Taifa Cup ina vipaji vingi

(Mkurugenzi wa Maendeleo ya michezo Nchini, Yusuph Singo)

Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo, Yusuph Singo amesema kupitia mashindano ya Kombe la Taifa (Taifa Cup) wameona vipaji vingi ambapo hawana budi kuviendeleza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS