Shilole apata ajali ya gari 

Picha ya msanii Shilole na gari alilopata nalo ajali

Msanii na mfanyabiashara Zuwena Mohammed 'Shilole'  ameshea taarifa ya kupata ajali ya gari kwenye page yake ya Instagram akiwa maeneo ya Chalinze mkoani Pwani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS