(Federico Valverde wa Madrid akishangilia baada ya kufunga bao la ushindi)
Miamba ya soka nchini Uhispania, FC Barcelona imetolewa kwenye hatua ya Nusu fainali ya Spanish Super Cup baada ya kufungwa mabao 2-1 ddhidi ya Mahasimu wao Real Madrid usiku wa jana nchini Saudi Arabia.