Magari mabovu marufuku kubeba wanafunzi Hatua hiyo imekuja kufuatia ukaguzi uliofanywa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi kitengo cha usalama barabarani mkoani humo kubaini kuwa kati ya magari 20 yaliyokaguliwa,matano yamekutwa yakiwa mabovu. Read more about Magari mabovu marufuku kubeba wanafunzi