Timu yamuomba msahama Okwi

Uongozi wa klabu ya Ruvu Shooting kupitia kwa msemaji wake Masau Bwire umemuomba radhi mshambuliaji wa Simba Emmanuel Okwi kufuatia kufanyiwa tukio lisilo la kiungwana na mchezaji wao Mau Bofu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS