Timu yamuomba msahama Okwi Uongozi wa klabu ya Ruvu Shooting kupitia kwa msemaji wake Masau Bwire umemuomba radhi mshambuliaji wa Simba Emmanuel Okwi kufuatia kufanyiwa tukio lisilo la kiungwana na mchezaji wao Mau Bofu. Read more about Timu yamuomba msahama Okwi