Picha hii ilipigwa mwaka 1992 nchini Somalia, ikimuonesha mama akiwa amebeba maiti ya mtoto wake aliyekufa kwa njaa.
Kazi ya uandishi wa habari ni moja ya kazi yenye changamoto sana. Waandishi wengi wamekuwa wakilaumiwa kwa kazi zao na kuonekana kama watu wasio na utu, kwa kuweka kazi zao mbele kuliko ubinadamu.