Azam FC yatoa onyo kali

Katika mwendelezo wa michuano ya kombe la shirikisho klabu ya Azam FC, imetoa kipigo kikubwa cha mabao 5-0 dhidi ya timu ya Shupavu FC ya mkoani Morogoro kwenye mchezo uliomalizika jioni hii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS