Salum Mwalimu na Mtulia, wavaana LIVE
Zikiwa zimebakia takribani siku 9 kuelekea marudio ya uchaguzi mdogo wa marudio katika Jimbo la Kinondoni hali imekuwa tofauti kwa wagombea Salum Mwalimu pamoja na Maulid Mtulia kwa kutoleana maneno ya kejeli pindi walipokutana uso kwa uso.

