Polisi waagizwa kuwakamata Watumishi

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya Kongwa mkoa wa Dodoma, imeliagiza Jeshi la Polisi kuwakamata watendaji 15 wa kata ambao wameshindwa kurejesha vitabu vya stakabadhi za malipo walizokabidhiwa na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS