Slaa atua Dar, akutana na Rais Magufuli

Rais John Magufuli amempongeza Balozi mteule Dkt. Wilbrod Slaa kwa moyo wake wa kizalendo wa kukubali kwenda kuiwakilisha nchi ya Tanzania katika taifa ambalo atapangiwa muda wowote kutoka sasa huku akijivunia kuwa hakukosea kumchagua yeye (Dkt Slaa)

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS