Kim Jong Un atest mitambo ya kivita
Shirika habari la Korea Kaskazini limesema kwamba kiongozi wa nchi hiyo Kim Joung Un, amefanya ziara yake katika eneo la magharibi la Nampo siku ya Jumanne na Jumatano, ambapo kwenye ziara hiyo alikagua ujenzi wa meli ya tatu ya daraja sawa na meli yake ya kivita ya tani 5,000, Choe Hyon

