Ibraah aiachia Basata sakata lake Pichani ni Harmonize na Ibraah Msanii ibraah amefunguka kilichozungumwa siku ya leo baada ya kuitwa na walezi wao Basata siku ya leo kwaajili ya kuzungumzia hili linaloendelea kwasasa kati yake na Label yake ya Konde Gang Read more about Ibraah aiachia Basata sakata lake