Brahim aweka rekodi ya kipekee AFCON

Brahim Diaz

Nyota wa timu ya taifa ya Morocco, Brahim Diaz, ameendelea kung’ara katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) kwa kuandika rekodi mpya barani Afrika baada ya kufunga bao katika mechi tano mfululizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS