Kila Mtanzania amshukuru Magufuli - Mabula
Mbunge wa jimbo la Nyamagana Stanslaus Mabula amefunguka na kuwataka Watanzania kumshukuru sana Rais wa awamu ya tano Dkt. John Pombe Magufuli kutokana na maamuzi yake aliyofanya jana kuhusiana na sakata la usafirishaji wa mchanga na madini.

