Serikali kusimamia matibabu ya mzee Ngosha
Serikali ya imelazimika kumuhamishia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Mzee Francis Maige Ngosha aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Amana kwa kipindi cha siku moja kwaajili yakupatiwa matibabu zaidi.

