Serikali kusimamia matibabu ya mzee Ngosha

Dkt. Hamis Kigwangalla na Francis Maige Ngosha ambaye ni mmoja wa wachora nembo ya taifa, alipomtembelea katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Serikali ya imelazimika kumuhamishia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Mzee Francis Maige Ngosha aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Amana kwa kipindi cha siku moja kwaajili yakupatiwa matibabu zaidi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS