Gerrard awakosoa Liverpool baada ya kichapo jana
Baada ya Liverpool kupoteza mchezo wao dhidi ya Wolves hapo jana wakipigika 2-1 na kudondosha alama 3 huku wakizidi kujiweka mbali na top four msimu huu, nyota wao wa Zamani Steven Gerrard amewakosoa vikali akidai ni uzembe

