Mzozo wa Iran bei ya mafuta imepanda-Samia
“Kama tunavyoona misukosuko iliyotokea hapa karibuni wiki iliyopita na tunayoendelea nayo, tayari imeshapandisha bei ya mafuta kwa 13% hadi jana, sasa hatujui leo na siku zijazo lakini tumuombe Mungu Watu wale wakae juu ya meza wazungumze wakubaliane na misukosuko hii iishe ili Dunia irud

