Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanawake wa migodini walia na bei

Tuesday , 21st Aug , 2018

Wanawake wanaofanya kazi ya kuponda kokoto na madini ya Chokaa, katika eneo la Amboni jijini Tanga wameiomba serikali kusimamia bei elekezi ambapo lori moja la kokoto linatakiwa kuuzwa kwa sh. laki moja na ishirini tofauti na sasa wao wanauza kwa sh. elfu themanini mpaka sabini.

Wakizungumza na East Africa Radio, kwa nyakati tofauti wanawake hao wamesema kuwa kutokuwepo kwa usimamizi wa bei kunasababisha wao kufanya kazi isiokuwa na maslahi.

Kina mama wanaofanya kazi katika eneo hilo wamesema wamejikuta wakilizamika kuuza kokoto hizo kwa bei ya hasara kutokana na kurudishwa nyuma na madalali hivyo kuwaweka katika wakati mgumu wa kupiga hatua kimaendeleo kupitia shughuli hiyo.

Akizungumzia Suala hilo Mkuu wa Wilaya Tanga, Thobias Mwilapwa, amesema kuwa bei elekezi ya serikali ipo tatizo kina mama hao wanakosa umoja kwa kukubaliana kwa pamoja kufuata bei elekezi na watambue atakenunua chini ya hapo ni kwamba amekiuka sheria.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani